Tangazo la HISA

Tangazo la HISA Mkutano Mkuu wa Mwaka 2024 uliazimia kuongeza kiwango cha chini cha HISA kutoka hisa 30 hadi 50 kwa kila mwanachama; yaani kutoka TSH600,000 hadi TSH 1,000,000 Hivyo unahimizwa kukamilisha hisa zako kwa kulipa kiasi kinachopungua kupitia mojawapo ya akaunti za benki zifuatazo ili uendelee kupata huduma kama kawaida:

 

Jina la Akaunti ni: TRA SACCOS LTD

  • NBC 012103020266,
  • CRDB 01J1328947802,
  • NMB 20310008081,
  • AZANIA 00100021049
 

Â